Wednesday, July 30, 2014
MSTARI WA KIZUSHI UNAKUJIA KIVINGINE MKALI WANGU SOMA HAPA....NI SHIDAAAAA!
Mkali wangu si unaukumbuka ule mstari wa kizushi? Yaani mstari wa kichokozi kutoka kwa msanii yeyote wa bongo Flavor na muziki wowote, sasa unarudi kivingine kabisa.
Mstari huu ambao ulikuwa ukitoka kwenye gazeti la Bingwa kila Ijumaa sasa utakuwa ukitoka katika gazeti lako la Mtanzania kila jumamosi kwa hiyo mkali wangu ambaye tulilisongesha pamoja sehemu ile na nilikuhamasisha kuufuata ukurasa ule sasa unaweza kunicheki kwenye gazeti la Mtanzania kila jumamosi mkali wangu, ni shiiiida!
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
-
NA MWANDISHI WETU MSANII wa Bongo Fleva nchini, Ali Kiba, jana alisaini mkataba na kampuni kubwa ya muziki ya Sony Music mjini Johannes...
-
Hii ilitokea jana kwenye viwanja vya Reders club ambapo wahudumu wa Castle Lager waliokuwa wakihudumia wakati tamasha Bonanza la kuwasaka wa...
No comments:
Post a Comment