Hivi ndivyo ilivyo bara bara inayokwenda kituo kikuu cha dala dala Ubungo au Simu 2000 kama kinavyoitwa. Huwa napata tabu sana kuwaelewa viongozi wetu yaani bara bara Legho mpaka Ubungo Plaza ambayo haina msaada mkubwa kwa jamii imewekwa Lami na sasa wanatengeneza bara bara ya Chuo kikuu mpaka Kimara baruti kwa kiwango cha Lami lakini hebu angalia bara bara hii ambayo inaelekea kituo cha mabasi ambacho ni tegemeo la wakazi wengi wa jijini Dar ilivyo.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
-
NA MWANDISHI WETU MSANII wa Bongo Fleva nchini, Ali Kiba, jana alisaini mkataba na kampuni kubwa ya muziki ya Sony Music mjini Johannes...
-
Hii ilitokea jana kwenye viwanja vya Reders club ambapo wahudumu wa Castle Lager waliokuwa wakihudumia wakati tamasha Bonanza la kuwasaka wa...
No comments:
Post a Comment