Wednesday, July 30, 2014
HUDDAH MONROE ANASWA NA UJIO MPYA WA ALI KIBA
Huddah Monroe anaswa na ujio mpya wa Ali Kiba
Ujio mpya wa Ali Kiba ulikuwa unasubiriwa kwa hamu na mashabiki wake ambao wanaoenesha kumpokea kwa mikono miwili tangu alipotambulisha nyimbo zake mbili ‘Mwana na Kimasomaso’, ingawa Mwana imeonekana kupenya zaidi.
Mrembo wa Kenya aliyewahi kuwa mshiriki wa Big Brother Africa, Huddah Monroe aka The BossChick alikuwa mmoja kati ya mashabiki wa dhati walioimiss sauti ya Ali Kiba na hivi sasa wamenaswa na ujio wake mpya.
Kupitia Instagram, Huddah amepost snippet ya ujio wa Ali Kiba na kuandika ujumbe unaoonesha hisia zake kwa sauti ya mwimbaji huyo.
“Whaaaatttttt!!!!!!!!! I was wondering where @officialalikiba had gone to! Sauti ya kumtoa nyoka pangoni! Still my favourite Tanzanian Artist, the real definition of Bongo Flava! Duh!!”
Credit:Times Fm
Posted by Charles Elias Misungwi at 11:28:00 AM
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
-
NA MWANDISHI WETU MSANII wa Bongo Fleva nchini, Ali Kiba, jana alisaini mkataba na kampuni kubwa ya muziki ya Sony Music mjini Johannes...
-
Hii ilitokea jana kwenye viwanja vya Reders club ambapo wahudumu wa Castle Lager waliokuwa wakihudumia wakati tamasha Bonanza la kuwasaka wa...
-
UKIONDOA DOSARI NDOGO NDOGO ZA WAAMUZI KUKOSEA KUPITA KIASI UKOSEFU WA JEZI YAANI WENGINE WALIKUWA NA SUB HADI 5 LAKINI WENGINE WAKAZUIWA NA...
No comments:
Post a Comment