Sunday, August 17, 2014

TASWA FC. WALIVYO PIGIKA KWENYE MASHINDANO YA CASTLE.

Baadhi ya wachezaji wa timu ya waandishi za michezo nchini wakijiandaa na mtanange wa kugombea tiketi ya kwenda Barcelona waandishi hao walipigika mechi zote na kuambulia fulana na katoni moja ya vinywaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaji.

No comments:

Post a Comment

KATUNI ZA MWAGITO HIZI HAPA MWANANGU.