Friday, November 21, 2014
HIVI NDIVYO MWANDISHI INNOCENT MUNYUKU ALIVYOAGWA JANA LUGALO
Mkurugenzi wa Radio One Deogratias Rweyunga akipita mbele ya jeneza na kutoa heshima zake za mwisho.
Mwanasheria mkuu wa kampuni ya New Habari akitoa heshima za mwisho mbele ya jeneza la marehemu Munyuku, mwenye fulana nyekundu ni Mkurugenzi wa Blog hii Shedrack Kilasi (kamanyani)
Mwandishi mashuhuri wa riwaya nchini Eric Shigongo akitoa heshima za mwisho.
Mhariri mtendaji wa kampuni ya New Habari Absarom Kibanda akitoa heshima za mwisho, mbele yake ni mwandishi wa siku nyingi Iche Mang'enya Innocent anazikwa leo kijijini kwao Mazimbu Moragoro Mungu amlaze mahali pema peponi, AMINA.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
-
NA MWANDISHI WETU MSANII wa Bongo Fleva nchini, Ali Kiba, jana alisaini mkataba na kampuni kubwa ya muziki ya Sony Music mjini Johannes...
-
Hii ilitokea jana kwenye viwanja vya Reders club ambapo wahudumu wa Castle Lager waliokuwa wakihudumia wakati tamasha Bonanza la kuwasaka wa...
-
UKIONDOA DOSARI NDOGO NDOGO ZA WAAMUZI KUKOSEA KUPITA KIASI UKOSEFU WA JEZI YAANI WENGINE WALIKUWA NA SUB HADI 5 LAKINI WENGINE WAKAZUIWA NA...
No comments:
Post a Comment