Na Mwandishi wetu.
TIMU ya soka ya Romani Katoliki imeifunga
KKKT bao 2-1 juzi, katika mchezo wa kirafiki uliochezwa katika Uwanja wa Chuo
cha Takwimu, jijini Dar es Salaam.
Akizungumza na KAMANYANI.COM jana, kocha wa timu
ya Roma, Bosco Mwanyika, alisema wameamua kufanya hivyo kwa ajili ya kuwa na
ujirani mwema.
Alisema mara nyingi watu wamekuwa
wakifanya kazi za kanisa, ila hawapendi kujituma katika m
Mshambuliaji hatari watimu ya Rc Shedrack Kilasi
mambo ya kutengeneza
mwili kama kufanya mazoezi.
“Tunatarajia kupanga programu ya
michezo tutakayofanya mara kwa mara ili kuhakikisha miili yetu inakuwa imara na
nguvu, kwani muda mwingi tunafanya kazi za kukaa zaidi,” alisema Mwanyika.
No comments:
Post a Comment