
“Ninaamini Mungu
ziko pamoja na Mzee Nguza na Papii Kocha...!hakuna linaloshindikana
mbele ya Mwenyezi Mungu...Kama anaweza kutoa Jaribu basi yeye pia ndo
Hayo ni maneno ya mwanadada Elizabeth
Michael (LULU) aliyoyaandika kupitia kwenye mtandao akiwaombea kheri
Mzee Nguza na mwanawe Papii Kocha wanaosubiria kusikilizwa kwa rufaa yao
ya kesi ya ulawiti inayowakabili
Toka atoke jela, mwanadada lulu ameonekana kubadilika sana kitabia tofauti na alivyokuwa akionekana hapo awali.
No comments:
Post a Comment