Hilo ni moja kati
ya mambo makubwa aliyoyaandika Mike Tyson kwenye kitabu chake ambapo
anakwambia pia alikua akitumia uume bandia kwenye vipimo.
Mike Tyson anasema
mpaka leo hii anapokutana na watu, huwa kinaweza kutokea chochote kile
kutokana na mood yake wakati huo ama siku hiyo, wakati mwingine anaweza
kuwa na hasira na akapiga mtu yeyote atakae mchokoza lakini wakati
mwingine anaweza kuwa mpole.
No comments:
Post a Comment