
HAPA Dr John akiwa na watoto wake wote alioachiwa na mkewe baada ya kufariki Dunia, Aliyepakatwa ni Irine mwenye umri wa miezi 6 anaefuatia mwenye fulana ya mistari mistari ni Sarah akifuatiwa na Happyness mwenye T.shirt ya njano tukimalizia kabisa kulia na dada yao Josephine John. BONGOCLAN TANZANIA ina
watakia familia hii maisha yenye wepesi wa kila jambo m/mungu aitangulie familia hii baada ya tukio hili la msima huu.
watakia familia hii maisha yenye wepesi wa kila jambo m/mungu aitangulie familia hii baada ya tukio hili la msima huu.



MSANII ''Joni Woka'' Kutoka kundi la WA2KU2 linaloundwa na wasanii wawili wakongwe Ras Lion A.k.a Ndukusulilikucho na Joni Woka.





Huu ndio mjengo wa msanii Dr John aliyefiwa na mkewe.







PICHA HIZI NI KWA HISANI YA MASAINYOTAMBOFU.COM
No comments:
Post a Comment