Ndugu zangu nimepata ajali mbaya sana baada ya gari langu kukata ball joint. Gari limegonga ukuta wa mtaro na kupinduka upside down , maeneo nyichoka huku Serengeti Gari limeharibika sana . Tulikuwa watatu ndani ya gari hakuna aliyeumia. God is great no one like Him. Asante Yesu kwa kuniokoa
No comments:
Post a Comment