Tuesday, May 24, 2016
WEMA ALIVYOTEMBELEA KAMPUNI YA NEW HABARI LEO, PICHA HIZI HAPA.
Msanii wa maigizo Wema Sepetu leo alitembelea kampuni ya New Habari inayochapisha magazeti ya Bingwa,Rai, The African na Dimba na kujionea jinsi magazeti hayo yanavyotengenezwa. Pia aliongea na waandishi wa magazeti hayo kabla ya kupata fulsa ya kupiga picha na wafanyakazi mbali mbali. Mimi nimekugusia tu zicheki hapa picha.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
-
SAKATA LA MADAWA YA KULEVYA LA AGNES MASOGANGE VIGOGO WAWILI WAKAMATWA Agnes Gerald 'Masogange' akiwa na rafiki ya...
-
Mkurugenzi Msaidizi wa Idara ya Maendeleo ya Michezo Bi.Juliana Yassoda akiwa na Bondia wa Dunia wa uzito wa juu Francois Botha alipowa...
-
Anakuja ,anakuja….Sister P…..anakuja anakujaa Sister P,anakuja anakuja Sister P anakuja kwenye fani ngangariiiiiii, anakuja Sister P...
No comments:
Post a Comment