Monday, October 28, 2013

VIDEO YA NGONO NDIO ILIYOMTOA MSHIRIKI NDANI YA BIG BROTHER..

Kinachoonekana ni kwamba, BBA ni sawa na shindano la laana ambamo asilimia kubwa ya washiriki wake ni wacheza filamu chafu au watu wenye skendo mbaya....


Mshiriki mwanadada maarufu kwa jina la Pokello njemba iliyojulikana kwa jina la "Desmond Chideme " maarufu kama Stunner wanaonekana wakifanya ngono bila kutumia kinga.

Skendo hiyo imewakera sana watu wa Zimbabwe kiasi kwamba wamelazimika kutengeneza ukurasa wao maalumu wa facebook unaohamasisha kura za kumng'oa mrembo huyo pindi atakapowekwa kikaangoni....

Video hiyo ambayo ilirekodiwa kwa kutumia simu ya iphone na kubadilishwa kwenda kwenye fomati ya avi ilivuja baada ya boyfriend wa pokello kuitoa video hiyo na kumpa rafiki yake wa karibu huku akijisifu.

Kuitazama video hii ni sharti uwe mtu mzima  (18+

No comments:

Post a Comment

KATUNI ZA MWAGITO HIZI HAPA MWANANGU.